OFA!! OFA!! - PATA MSAADA KWA WATAALAMU WA IT BURE, TEMBELEA TUVUTI KWA KUBONYEZA HAPA AU WHATSAPP: +255678 920112
News
Loading...

GET CASH ONLINE

ANSWER ALL QUESTIONS.

WIN 100% MARKS AND GET CASH ONLINE





1. Nitajie jina moja ambalo ukitoa herufi 2 za mwanzo unapata jina la mkoa, jina hilo la mkoa ukilisoma kuanzia nyuma kwenda mbele unapata jina la mvulana na ukitoa herufi herufi 2 za mwisho unapata jina la mnyama na neon lenyewe ukilisoma kama lilivyo ni jina la sehemu maarufu.

2. Umri wa malkia ni sawa na umri wa mfalme utakavyokuwa pale umri wa malkia ukiwa mara mbili ya umri wa mfalme ulivyokuwa pindi malkia akiwa na umri nusu ya jumla ya umri wao wa sasa. Taja umri wao wa sasa

3. Wanawake wawili walituma maombi ya kazi, wanafanana na ni wazaliwa wa mama na baba mmoja na wanamiliki tarehe moja ya kuzaliwa. Muajiri aliwauliza, “nyie ni mapacha?” bila ya kuficha wakasema ukweli kwa pamoja “HAPANA” Je, hii inawezekanaje?

4. Wewe ni dereva wa basi lenye viti vya abiria 63, mlango mmoja na madirisha 28. Umeanzasafari basi likiwa limejaa abiria, 21 wakashuka chalinze na kupanda wengine 40. Abiria 9 ya wale 14 wakashuka sekenke na kupanda wengine 6 kisha wawili kati ya wale 6 kushuka na dereva mwingine. 12 wakashuka shinyanga na kupanda wengine 12 kumrudia abiria mmoja kati ya 9 walioshuka. Dereva wa mwanzo yuko wapi?

5. Mwalimu aliuliza swali, laity kesho ingekuwa jana basi leo ingekuwa ijimaa ile iliyopita. Je, mwalimu aliulizwa swali siku gani?

6. Sentensi ipi ni sahihi? Kiini cha yai ni cheupe. AU Kiini cha mayai ni cheupe.

7. Kabla ya mlima Kilimanjaro kugunduliwa,____Ndiyo uliokuwa mlima mrefu kuliko yote Africa

8. ---------- Ni herufi inayoongoza kwa kutumika kuliko herufi nyinginezote katika alfabeti ya lugha ya Kiswahili

a) Herufi ‘M’

b) Herufi ‘A’

c) Herufi ‘E’

d) Herufi ‘o’

 






***HAKUNA WASHINDI KWA SASA***

10 Maoni :

  1. 1-kegere
    2-malkia amemzidi mfalme nusu ya jumla ya miaka yao
    3-walizaliwa masaa tofauti hawakuzaliwa kwa wakati mmoja
    4-alishuka sekenke
    5-alhamisi
    6-hakuna sahihi
    7-everest
    8-A

    ReplyDelete
  2. 1-Kimara
    2.Umri wa mfalme ni mara mbili ya umri was malkia
    3. Walizaliwa masaa tofauti lakini siku moja.
    4. Alishuka Sekenke
    5. Jumatano
    6. Hakuna sahihi
    7. Mt. Kenya
    8. A

    ReplyDelete
  3. 1. Arusha
    2. Umri wa malkia ni mara mbili ya umri wa mfalme
    3.walizaliwa tarehe moja umri tofauti
    4.kwenye gari
    5.leo
    6.hakuna iliyo sahihi
    7. Mlima kilimanjaro
    8.b)A

    ReplyDelete
  4. 1 kimara
    2 hakuna umri nusu
    3 ndiyo kuna uwezekano
    4 yuko kwenye gari hajashuka
    5 siku hiyo ni leo
    6 kiini cha yai
    7 mlima kenya
    8 herufi ni E

    ReplyDelete
  5. 1kimara
    4sekenke
    6hakuna jibu sahihi
    8herufi "M"

    ReplyDelete
  6. Siyo siri amna jibu kwenye maswari yenu

    ReplyDelete
  7. Aaaah 🤔🤔 nyiee maswaliii yenuu majibu yake yapo kuzimuuuu iyo ela ya moto 🔥🔥🔥🔥 me napita iviiii🏃🏃🏃

    ReplyDelete
  8. 1/kimara
    2/ hakunaga umri nusu
    3/ Hapana
    4/ chalinze
    5 ijuma ya wiki nyingine
    6/ zote
    7/ mlima Kenya
    8/ b

    ReplyDelete
  9. Maimunaabushir@gmail.com

    ReplyDelete