OFA!! OFA!! - PATA MSAADA KWA WATAALAMU WA IT BURE, TEMBELEA TUVUTI KWA KUBONYEZA HAPA AU WHATSAPP: +255678 920112
News
Loading...

Jinsi ya kutumia Sim Cards (lines) mbili au zaidi katika simu inayotumia Sim Card (line) moja

Unaweza kutumia Mitandao zaidi ya miwili katika Simu yako inayoruhusu kutumia SIM Card (line) moja tu, kwa mfano unaweza ukamiliki simu ya line moja lakini una line ya Tigo, Voda, Airtel na Halotel. Sasa je, utafanyaje ili watu wanapokupigia kwenye line yeyote uwe una uwezo wa kupatikana na kujibu simu zao? Wala usijali kwa kuwa tayari umetembele ICT yetu kila kitu kitawezekana na kitakwenda sawa. Si vizuri kutembea na mzigo wa simu nyingi kwa kuwa una line nyingi, baada ya kufahamu hatua nitakayokuelekeza sasa utatembea na simu moja wakati huo line zingine utakuwa unaziacha ndani mezani bila kuweka kwenye simu.

Jinsi ya kutumia Sim cards (lines) mbili au zaidi katika simu inayotumia Simcard moja

Una simCards mbili kwa mfano Vodacom na Tigo au Halotel na Airtel, unachotakiwa kufanya ni kuweka Simcard (line) ambayo unapenda kuitumia mara kwa mara kwenye simu yako na zile Simcard (lines) zingine unaweka ndani.

Kumbuka kwamba unahitajika kuweka line ambayo unapenda kuitumia, kwa kuwa line hiyo tu ndio utakayoweza kupiga simu. Lakini kwa zile line ambazo ulizopweka ndani zitatumika kwa ajili ya kupokea simu tu kwa watakaokupigia kwa kutumia zile namba zako, mfano ndani kuna line ya voda na halotel, kama mtu atakupigia namba yako ya voda au Halotel utakuwa upo hewani na utaweza kupokea na kuongea nao japo kwenye simu kuna line ya Tigo, lakini hutoweza kuwapigia wao kwa kutumia line zilizowekwa ndani bali utapiga simu kwa kutumia Tigo iliyopo kwenye simu.

Bonyeza **21*(ikifuatiwa na namba ya simu ambayo ni muhimu/unayotumia kila mara) kisha # na bonyeza OK

Baada ya kutuma zima simu yako na uweke/replace Simcard muhimu kwako/unayotumia mara kwa mara. Hapa utakuwa umefanikisha na utapatikana hewani kwa mitandao yote.


NOTE: Inafanya kazi kwa simu zote na mitandao yote.

Kama unahitaji kujitoa katika huduma hii piga ##21# kisha zima simu na utoe simcard iliyopo kwenye simu, weka simcard ambayo uliyoweka ndani(ambayo haikuwepo kwenye simu), kisha bonyeza ##21# kisha OK, call forwarding zitakuwa canceled na simu itakuwa kama zamani.

Tafadhari Share Post hii ili wapate kujua na wengine*****ICT yetu is the best****



Shiriki(Share) kwenye Google Plus

About ICT yetu

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.

1 Maoni :

  1. Laptop yngu ya dell.. haipokei chji.. nikiweka chji adapta ya way wa chj inazmika kile kitaa chke.. je ttzo inawezkan ni nni? Na nifanyeje kulitatua? Naombeni msaada plz.. mm n mwnafunzi laptop nahtj kutumia shulen.. 0772667487.
    Ibrahlkhereziy@gmail.com...
    hzo ndio contact zngu

    ReplyDelete