BREAKING
NEWS ZA TAREHE 29/04/2017
BREAKING NEWS ZA TAREHE 28/04/2017
BREAKING NEWS ZA TAREHE 27/04/2017
MATOKEO LA LIGA:
Barcelona yaifunga Osasuna mabao 7-1, Lionel Messi, Andre Gomes na Paco Alcacer wakifunga magoli mawili kila mmoja.'
UDHALILISHAJI MIGODINI:
N/Waziri wa kazi A.Mavunde asema serikali itawachukulia hatua waajiri migodini wanaodhalilisha wafanyakazi kwa kuwapekua sehemu za siri.'
AJALI PWANI:
Mtu mmoja ahofiwa kufa na wengine 27 wanusulika baada ya boti waliyokuwa wakisafiria kuzama bahari ya Hindi wilayani Rufiji, Polisi yathibitisha.'
KESI YA UCHAGUZI:
Korti Kuu Arusha yatoa siku 14 kwa aliyekuwa mbunge wa Longido Onesmo Ole Nangole kuandika notisi ya kukata rufaa dhidi ya uamuzi uliomtengua ubunge.'
AKIBA YA CHAKULA:
Akiba katika ghala za Wakala wa Taifa wa Hifadhi ya Chakula yapungua kutoka tani 86,834 January hadi tani 86,444 February 2017, BOT yaeleza.
WATUMISHI WAADHIBIWA:
Baraza la madiwani Geita lawafukuza kazi watumishi wawili wa halmashauri kwa utoro kazini an kuwasimamisha wengine wawili kupisha uchunguzi.'
UCHAGUZI KENYA:
Muungano wa vyama vya upinzani huko Kenya National Super Alliance (NASA)wampitisha waziri mkuu wa zamani, Raila Odinga kugombea kiti cha urais.'
UHAKIKI VYETI:
Waziri Angellah Kairuki kumkabidhi Rais Magufuli ripoti ya uhakiki wa vyeti kwa watumishi wa umma katika ukumbi wa Chimwaga, Dodoma, Ikulu yasema.'
TUHUMA IRINGA:
Polisi inamshikilia aliyekuwa M/kiti wa CCM Iringa, Jesca Msambatavangu kwa tuhuma za kuratibu mauaji ya mwanamke mmoja, RPC Mjengi athibitisha.'
TUHUMA-USAHIHI:
Mwanamke anayedaiwa kushambuliwa na aliyekuwa M/kiti wa CCM Iringa Jesca Msambatavangu hakufariki-kamatulivyoripoti bali alipata maumivu makali.'
HARAMBEE:
Zaidi ya sh200 milioni zimepatikana katika hafla ya
kuichangia timu ya Taifa ya vijana wenye umri chini ya miaka 17 "Serengeti
Boys" iliyofanyika Dar.'
NUSU FAINALI SHIRIKISHO:
Simba yatinga fainali za kombe la shirikisho baada ya
kuichapa Azam bao 1-0 Uwanja wa Taifa Dar, kesho ni Yanga vs Mbao FC, Mwanza.'
BREAKING NEWS ZA TAREHE 28/04/2017
UHAKIKI
WA VYETI:
Rais
Magufuli awasili katika ukumbi wa Chimwaga katika Chuo Kikuu cha Dodoma kupokea
ripoti ya uhakiki wa vyeti vya watumishi wa umma.'
KESI YA
OLE SABAYA:
Mahakama
ya Arusha imeondoa kesi iliyokuwa inamkabili mwenyekiti wa UVCCM Lengai Ole Sabaya kwa upande wa jamhuri
kushindwa kuleta mashahidi.'
UHAKIKI
WA VYETI:
Waziri
Angela Kairuki asema uhakiki wa vyeti umebaini watumishi 9,932 wanatumia vyeti
vya kugushi ambavyo havina alama halali za utambulisho.'
UHAKIKI
WA VYETI:
Waziri
Angela Kairuki asema vyeti 1,538 vinatumiwa na watumishi wa umma 3,076, ambapo
cheti kimoja kinatumiwa na mtumishi zaidi ya mmoja.11,596 waliwasilisha vyeti
pungufu.'
SHAMBULIZI
KWA WAANDISHI:
Prof
Lipumba alitaka Jukwaa la Wahariri kuchukua hatua za kisheria dhidi ya
walioshambulia waandishi wa habari katika mkutano wa CUF.'
UHAKIKI
WA VYETI:
Rais
Magufuli aagiza watumishi wa umma 9,932 waliogushi vyeti wafutwe kazi, na
watakaosalia hadi tarehe 15 Mei wafikishwe mahakamani.'
VURUGU
CUF:
Watu 7
wakiwemo Mkurugenzi wa habari CUF Abdul Kambaya wakamatwa na polisi
wakihusishwa na vurugu zilizotokea kwenye mkutano wa CUF hivi karibuni.'
UHAKIKI
WA MIKOPO:
Naibu
Spika Dk Tulia Ackson, mjini Dodoma, awaambia wabunge waliosoma kwa mkopo
kujaza fomu za uhakiki ili kuepuka kushtajiwa kortini.'
UBUNGE
EALA:
Uchaguzi
wa nafasi 2 za wabunge wa Bunge la Africa Mashariki(EALA) kupitia Chadema
kufanyika Mei 10, Katibu wa Bunge Thomas Kashililah atangaza leo.'
BREAKING NEWS ZA TAREHE 27/04/2017
MATOKEO LA LIGA:
Barcelona yaifunga Osasuna mabao 7-1, Lionel Messi, Andre Gomes na Paco Alcacer wakifunga magoli mawili kila mmoja.'
UDHALILISHAJI MIGODINI:
N/Waziri wa kazi A.Mavunde asema serikali itawachukulia hatua waajiri migodini wanaodhalilisha wafanyakazi kwa kuwapekua sehemu za siri.'
AJALI PWANI:
Mtu mmoja ahofiwa kufa na wengine 27 wanusulika baada ya boti waliyokuwa wakisafiria kuzama bahari ya Hindi wilayani Rufiji, Polisi yathibitisha.'
KESI YA UCHAGUZI:
Korti Kuu Arusha yatoa siku 14 kwa aliyekuwa mbunge wa Longido Onesmo Ole Nangole kuandika notisi ya kukata rufaa dhidi ya uamuzi uliomtengua ubunge.'
AKIBA YA CHAKULA:
Akiba katika ghala za Wakala wa Taifa wa Hifadhi ya Chakula yapungua kutoka tani 86,834 January hadi tani 86,444 February 2017, BOT yaeleza.
WATUMISHI WAADHIBIWA:
Baraza la madiwani Geita lawafukuza kazi watumishi wawili wa halmashauri kwa utoro kazini an kuwasimamisha wengine wawili kupisha uchunguzi.'
UCHAGUZI KENYA:
Muungano wa vyama vya upinzani huko Kenya National Super Alliance (NASA)wampitisha waziri mkuu wa zamani, Raila Odinga kugombea kiti cha urais.'
UHAKIKI VYETI:
Waziri Angellah Kairuki kumkabidhi Rais Magufuli ripoti ya uhakiki wa vyeti kwa watumishi wa umma katika ukumbi wa Chimwaga, Dodoma, Ikulu yasema.'
TUHUMA IRINGA:
Polisi inamshikilia aliyekuwa M/kiti wa CCM Iringa, Jesca Msambatavangu kwa tuhuma za kuratibu mauaji ya mwanamke mmoja, RPC Mjengi athibitisha.'
TUHUMA-USAHIHI:
Mwanamke anayedaiwa kushambuliwa na aliyekuwa M/kiti wa CCM Iringa Jesca Msambatavangu hakufariki-kamatulivyoripoti bali alipata maumivu makali.'
0 Maoni :
Post a Comment