OFA!! OFA!! - PATA MSAADA KWA WATAALAMU WA IT BURE, TEMBELEA TUVUTI KWA KUBONYEZA HAPA AU WHATSAPP: +255678 920112
News
Loading...

Jinsi ya kubadili mwonekano wa simu yako ya Smartphone, ili ivutie zaidi na uipende

Kuna baadhi ya simu kama Tecno Y4 na zinginezo, huwa hazina theme nzuri sana katika screen, ukizingatia icon zake ni kubwa sana, hebu tazama mfano wake hapo chini

Lakini hebu tazama tena mwonekano wake baada ya kubadili Theme ya screen

Home screen
Application Screen




Kwakweli inavutia hata kama nikipiga snapshot mtu kwa haraka haraka ni ngumu sana kugundua kuwa hii ni Tecno Y4













Siyo Icon tu, bali pia unaweza kubadili style ya maandishi ya simu yako(Font style).


Ili kubadili mwonekano wa simu yako huenda umechoka na mwonekano wake, tafadhari fuata hatua zifuatazo:

JINSI YA KUBADILI MWONEKANO WA ICON ZA SIMU/THEME

>>Ingia kwenye playstore ya simu yako

>>Andika Theme for Android kwenye sehemu ya Search(zitakuja Theme nyingi sana)

>>Chagua Theme unayoipenda katika mwonekano (Shusha mpaka chini ili kutazama itakavyoonekana baada ku install kwenye simu yako)

>>Bonyeza Install

Baada ya kumaliza installation, Fungua (Theme hizo mara nyingi huwa zinategemea App nyingine ili kufunguka), Sasa basi unapoifungua itakuamuru kupakua tena App nyingine ambayo itakupeleka moja kwa moja bila kutafuta, cha msingi wewe ni kuikubalia tu ili uweze kuipakua na hiyo App.

Baada ya kumaliza ku install App hiyo ya mwisho(third part), utachagua Theme au uta acha ile ya default kisha SET theme. Hapa utakuwa umemaliza na mwonekano wa simu yako utakuwa tayari umebadilika baada ya kufuata hatua zote zilizo kuamuru.



JINSI YA KUBADILI MWONEKANO WA MAANDISHI KWENYE SIMU YAKO(FONT SYLE)
>>Ingia kwenye playstore ya simu yako

>> Andika iFont kwenye sehemu ya Search au bonyeza >>iFont

>> Ipakue na install kwenye simu yako

>>Chagua aina ya maandishi unayopenda(utakachochagua, utabonyeza download kisha SET)

Unapobonyeza SET itakuamulu ijizime simu na kujiwasha ili ihifadhi mabadiliko

Baada ya kuiruhusu kujizima, itakapowaka itakuwa tayari imebadili mwonekano wa maandishi.

Mpaka kufikia hapo tumefikia mwisho wa somo letu. Tafadhari usisahau kuuliza swali lolote au Comment chochote kama ushauri kwenye page zetu. ICT yetu ni yetu sote kwa kupambana na matatizo mbali mbali ya kompyuta na ICT Kwa ujumla………Asante!!!


Shiriki(Share) kwenye Google Plus

About ICT yetu

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.

1 Maoni :