OFA!! OFA!! - PATA MSAADA KWA WATAALAMU WA IT BURE, TEMBELEA TUVUTI KWA KUBONYEZA HAPA AU WHATSAPP: +255678 920112
News
Loading...

Je, Wajua? Mtu wa kwanza kutengeneza Kompyuta na mambo mengi zaidi ambayo hukuyafahamu...Soma hapa


Je, Wajua? Mwaka 1822, Charles Babbage ndiye aliyetengeneza Kompyuta ya kwanza



Je, wajua? Doug Engelbart ndiye aliyetengeneza Kipanya cha kwanza cha Kompyuta (Computer Mouse) mwaka 1964 kwa kutumia mbao.



Apple Lisa ilikuwa compyuta ya kwanza kibiashara ambayo ilikuwa na mwonekano (graphical interface) wa GUI na kipanya (Mouse)





















Je, Wajua? Jina “Macintosh” lilihamasishwa na Apple kwa jina la “mcintosh”

Je, Wajua? Watu wanasoma maandishi kwa utaratibu sana kwenye Kompyuta /screen (softcopy) kuliko kwenye kitabu (hardcopy)

Je,Wajua? Apple II ilikuwa na ukubwa wa 5 MB tu wa Hard Disk pale ilipozinduliwa




Je, Wajua? 1024 Gigabytes (GB) ni sawa na 1 Terabyte (TB)

Na 1024 Terabytes ni sawa na 1 Petabyte (PT)

Je, Wajua?
Aliyeunda format ya file PNG alitaka litamkwe kama “ping”

Je, Wajua? Skype ilipigwa marufuku katika jamuhuri ya nchi ya china


Shiriki(Share) kwenye Google Plus

About ICT yetu

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.

1 Maoni :