OFA!! OFA!! - PATA MSAADA KWA WATAALAMU WA IT BURE, TEMBELEA TUVUTI KWA KUBONYEZA HAPA AU WHATSAPP: +255678 920112
News
Loading...

Kompyuta aina ya Dell inawaka na kuzima kama indiketa rangi ya chungwa, Nini cha kufanya ?












Kama una kompyuta aina ya dell na haitaki kuwa na kuishia kuwaka tu taa ya rangi ya chungwa, basi itakuwa na tatizo la usambazaji wa nguvu ya umeme (power supply). Wakati mwingi sana hilo tatizo la kuwaka kwa flash taa rangi ya chungwa huwa linatokea mara kwa mara kwa tatizo la “Power supply”



Kuna hatua za kufanya ili kuweza kutatua hilo tatizo:

(Chomoa kebo zote za umeme)

1. Fungua Kasha la kompyuta yako ya Dell

2. Fungua box ya “Power supply” na utafute waya rangi ya kijani (Waya rangi ya kijani ndio unaotumika kama swichi ya kuwashia “Power supply” kwenye Kompyuta zote)

3. Ukate sehemu ya kati

4. Chuna kava yake sehemu zote za mwisho, ili upate waya wa ndani sehemu zote mblili za ulizokata

5. Tafuta kipande kingine cha waya mrefu ambao hakikisha unaweza fika sehemu ya mbele ya kompyuta yako

6. Chomea na waya wako wa kijani lakini weka tofauti na kipande chako cha waya

7. Zipange vizuri na uzifunge (kama kuna mkanda wake basi uzifunge vizuri)

8. Chomeka “Power cable” waya wa moto kwenye komputa yako

9. Pitisha waya wako kwenye makalio “Chassis” za kompyuta

10. Kama feni inawaka “full speed”, bonyeza kitufe cha kuwashia “Power button” na toa waya wako “Put off”

11. Sasa Kompyuta yako itawaka kama kawaida..

· Tafadhari kama hukuelewa usiache acha Comment yako ili nikusaidie zaidi *
Shiriki(Share) kwenye Google Plus

About ICT yetu

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.

7 Maoni :

  1. Sijaelewa bado nipitishe kwenye chassis ya computer kuelekea wapi

    ReplyDelete
  2. Laptop aina ya dell ni kiunganishi waya wa adapter taa ya betri inawaka kama indicator rangi ya orange na haipeleki moto.Msaada Tafadhari

    ReplyDelete
  3. pc dell inawaka wakati wa kudisplay neon dell inazima gafla ukirudia kuwasha inawaka ila inaonyesha automatic repair shida itakuwa n nn?

    ReplyDelete
  4. Habari samahan laptop yangu niliifungua kurekebisha speaker sasa kilichotokea ni kwamba nikiiwasha sasa hivi kioo hakipati moto yaan hakiwaki na ile power button nikibonyeza inawaka na kuzima na nikieka chaji taa ya umeme inawak kma sekundi 5 nakuzima kioo hakiwaki kbsa sijajua taxo ni nini?

    ReplyDelete
  5. Pc yangu aina ya dell imezima ghafla, lakini nilipo jaribu kutoa betri na kuirudisha tena caps lock ikawaka na kuzima, lakini hadi sasa kitufe cha kuwashia kinakua on hata kama sijaiwasha na haionyeshi kitu. Msaada kwa anae jua nini laweza kua tatizo

    ReplyDelete
  6. Jamani naomba msaada PC yangu Aina ya Dell Ina Waka nakujizima Ina onesha Kama inawaka alafu inakata Moto nifanyeje wakubwa?

    ReplyDelete
  7. Na je vipi kwa hp yamlalo inawaka taa nyekundu

    ReplyDelete