OFA!! OFA!! - PATA MSAADA KWA WATAALAMU WA IT BURE, TEMBELEA TUVUTI KWA KUBONYEZA HAPA AU WHATSAPP: +255678 920112
News
Loading...

Smartphone kali za kununua kwa mwaka 2017 na zenye ubora wa hali ya juu sana

Je, unahitaji kununua Simu mpya? Kama unatafuta Smartphone kali na yenye ubora kwa mwaka 2017, umefanya maamuzi sahihi na kwa wakati muafaka. Nimekuwekea Smartphone za ukweli uzikague na usome uwezo wa Simu na hata gharama zake za kununua kama utakwenda kwenye duka la kawaida kabisa kokote ulipo.
Ukweli ni kwamba unapohitaji kununua simu mpya, kwanza ni lazima utafiti ni simu gani bora kwako na unahitaji kwa matumizi gani hasa? Hebu peruzi hizo Smartphone kisha fanya maamuzi ya kuchagua simu inayokufaa kwa kuangalia na uwezo wako.


17. Sony Xperia Z5


Sony Xperia Z5ni Zao la Sony ya mwaka 2015, na ni model ya mwisho kabisa iliyotoka zikiwa zimepewa series za Z, na mpka kuwekwa au kubadili series ya X mwaka 2016 February. Ilivyozinduliwa ilikuwa imeboreshwa kwenye upande wa kamera na kuwekwa 23 - megapixel sensor, kama kwa sasa unavyoiona ndani ya ujaji mpya wa Xperia X model. Ni nzuri na ina perform vizuri.

INGIA HAPA KUISOMA ZAIDI >>



http://ictyetu.blogspot.com/p/blog-page_2.html

Shiriki(Share) kwenye Google Plus

About ICT yetu

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.

0 Maoni :

Post a Comment