OFA!! OFA!! - PATA MSAADA KWA WATAALAMU WA IT BURE, TEMBELEA TUVUTI KWA KUBONYEZA HAPA AU WHATSAPP: +255678 920112
News
Loading...

Memory card/Flash yenye 8GB inasoma 49MB Kwenye Kompyuta, Ni nini cha kufanya ili isome 8GB? Soma hapa

Unaweza badili kila USB port na ikawa si suruhisho, unaweza zima kompyuta yako na kuwasha au Kuformat hiyo memory pia ikakusumbua na usipate jibu, Kwa kuwa umetembelea kurasa zangu basi ondoa shaka tatizo lako limekwisha na wala usitupe na kununua Memory nyingine na kudhani kuwa wadudu "Virus" wameshaishambulia Memory yako. Hebu soma hatua zifuatazo jinsi ya kufanya:





1. Ingiza Memory yako kwenye Kompyuta

2. Fungua CMD "Command prompt" (Kama window 7, bonyeza "start" kisha andika "CMD" Sehemu ya kutafuta "search")

3. Baada ya ubao mweusi kufunguka

4. Andika diskpart Kisha Bonyeza "Enter"

5. Andika list disk Kisha Bonyeza "Enter"

6. Andika select disk x (x ni herufi ambayo imechukuliwa na memory yako uliyoweka kwenye kompyuta) Kisha Bonyeza "Enter"

7. Andika clean Kisha Bonyeza "Enter"

8. Andika create partition primary Kisha Bonyeza "Enter"

Sasa unaweza kwenda kwenye "disk management" na Kisha kuifomat Memory yako.

Na itakuwa tayari kusoma 8GB



* Kama hufaham kufomat memory yako kwa kuingia kwenye "disk management" tafadhari Andika Comment yako,au tuma mail kwa kubonyeza link ya hapo chini upande wa kulia ili nikusaidie zaidi * Asante...


Shiriki(Share) kwenye Google Plus

About ICT yetu

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.

0 Maoni :

Post a Comment