OFA!! OFA!! - PATA MSAADA KWA WATAALAMU WA IT BURE, TEMBELEA TUVUTI KWA KUBONYEZA HAPA AU WHATSAPP: +255678 920112
News
Loading...

Jinsi ya Kumkamata Mwizi wako aliyekuibia Simu yako / Kuipata Simu yako iliyopotea



Simu yako ya mkononi waweza poteza kwa kuisahau Sehemu Fulani au kuibiwa na wezi, na kuishia tu kulia au kuuzunika bila kuchukua jitihada yeyote ya kuitafuta simu yako, Ni rahisi sana kuipata simu yako iliyoibiwa au kupotea, Unaweza tumia njia mbali mbali kama zilizoelezwa hapo chini:



Jinsi ya kuipata Simu yako kwa kutumia Kompyuta yako.

Una nafasi nzuri a kufanya ili kuipata simu yako iliyopotea, Hivyo badala ya kukwambia kuwa ni nini cha kufanya kabla hujapoteza hiyo simu yako. Hebu ngaja twendwe maana unahitajika kufahamu sasa.

Habari mpya ni kwamba unaweza tafuta handset iliyokosekana kwa kutumia Google’s Android Device Manager, hata kama huna progarmu “APP” imewekwa (install).Chukua Kompyuta yako (“kama huna kompyuta basi utaona maelezo yajayo hapo chini”), Unganisha kwenye internet. Fungua Chrome, hakikisha akanti yako ya Google ipo wazi (umeifungua), (Umakini, sehemu hiyo ni ya muhimu). Andika “Where is my phone” katika sanduku kuu ya chrome. Hii itafanya Serach, na Google moja kwa moja ita load kurasa ya Android Device Manager ndani ya matokeo ya utafutaji. Wakati wa kupima kwang “my test” Nimeona hii sanduku kidogo kuwa pretty na kukosa baadhi ya matokeo. Hivyo kwa ajili ya kutafuta simu yako haraka nenda mbele na kubonyeza link “Android Device Manager”.



hii itakupeleka mpka kwenye kwenye Device Manager, hutakiwi kuingia tena kwenye Akaunti yako ya Google. Hapa na mara tu anza kutrak Simu yako.



Mara baada ya kuiambia Device Manager kuitafuta simu yako iliyopotea, itaanza kutafuta na kukupatia jibu baada ya muda mchahe tu. Itabidi itoe muda ilikuwa iko, Eneo, na Usahihi mbalimabali. Hii itakuopa wazo nzuri sehemu ambako simu yako ipo.

Kuhakikisha Data yako binafsi ni salama, unaweza kutumia kitufe cha “Lock” ili kuwezesha kioo “screen” kufunga kwa password hata kama mwanzo ulikuwa hukuweka.



Mara baada ya Password kuwekwa, unaweza pia kuweka ujumbe juu ya Lock screen kitu kama “Thanks for finding my phone” (Asante kwa kutafuta simu yangu). Tafadhari piga namba hapa chini “(Kisha weka namba kwenye box hapa chini)”

Ujumbe utaoneshwa kwa herufi kubwa kwenye lock screen na “Call Owner” kitufe cha chini, Kama mtu wa kweli ameipata simu yako, hakika atakupigia. Kama ni mwizi watafahamu kuwa simu yako unamfaham aliyeiba na kukuomba samahani. Baada ya kuifunga pia unaweza tuma komand ya wito “ring” ambayo inaweza kukusaidia kuita muito na kuisikia kama umeacha sehemu.









Shiriki(Share) kwenye Google Plus

About ICT yetu

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.

16 Maoni :

  1. Je inawezekana kutafuta kwa imei number?

    ReplyDelete
    Replies
    1. Naweza kuipata cm yangu iliyopotea

      Delete
    2. Naweza kupata sm yangu iliyopotea 13 juni 2022

      Delete
    3. Imei1:860823052967985
      Imei2:860823052967993

      Delete
    4. Naomba msaada nimeibiwa simu Yangu,kila nikitruck naambiwa device haipatikani
      0742749996

      Delete
  2. 352018109833786
    3520181098337994




    ReplyDelete
  3. Je kama ameizima ntaweza kuipata

    ReplyDelete
  4. nimevunjiwa duka langu la simu nimeibiwa simu zote ila wezi hawakubeba box za simu ivyo imei namba ninazo je naweza kuitafuta na kuipata

    ReplyDelete
    Replies
    1. Nenda polisi watakuunganisha na Mtandao Wa simu unazipa

      Delete
    2. Naweza kufunga line yangu inayotumuka

      Delete
  5. Mimi nimeibiwa simu yangu lakini sio simu janja ni simu ndogo tu eirtel imei namba yake siikumbuki ila ilakuwa na lain ya tigo je naweza ipata imei yake

    ReplyDelete
  6. Jee kama mwizi alishaniibia alafu kakimbilia kusikojulikana naweza nikamtafta kwanjia gani kirahis?

    ReplyDelete
  7. Mimi Nimeibiwa simu naitaji kujua jinsi ya kuipata naomba msaada

    ReplyDelete
  8. Nahtaji kujua sim yangu ilipo nimeibiwa jana

    ReplyDelete