OFA!! OFA!! - PATA MSAADA KWA WATAALAMU WA IT BURE, TEMBELEA TUVUTI KWA KUBONYEZA HAPA AU WHATSAPP: +255678 920112
News
Loading...

Laptop yenye vioo vitatu ni babu kubwa: Kampuni moja maarufu "Razer" watambulisha Laptop yenye vioo vitatu

Laptop hii inafahamika kwa jina la Project Valerie, imetambulishwa kwenye maonesho ya bidhaa za electronic huko jijini Las Vegas nchini Marekani, na inavyosemekana kuwa hii ndio laptop ya kwa kwanza duniani kuwa na mfumo huo. Kampuni hilo "Razer" linajihusisha na utengenezaji wa kompyuta kwa ajili ya matumizi ya uchezaji wa magemu,



Inavyoonekana ni kama laptop ya kawaida ila unapoifungua kwenye kioo kikuu vingine viwili vinachomoka upande wa kulia na kushoto na kujipanga.



Kila kioo kimoja kina ukubwa wa inchi 17, na display yake ni za kiwango cha juu cha HD,4K



Uwepo wa vioo vitatu vinamfanya mtu afikiri laptop hiyo itakuwa nene sana pale itakapofunikwa, la hasha wamejitahidi kuifanya isiwe nene sana. Ina unene wa inchi 1.5, Kampuni ya Razer bado hawajatoa muda rasmi ambao laptop hizo zitaingia sokoni.


TAZAMA VIDEO ZA MAONESHO NA INAVOONEKANA LAPTOP HIYO 

Are you interested in carrying a laptop that features 3 4K displays?


 Go beyond extreme with the world's first automated triple display gaming laptop


Shiriki(Share) kwenye Google Plus

About ICT yetu

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.

0 Maoni :

Post a Comment